Ni kutokea kwa wakali wa muziki wa kitanzania Ben Pol , Jux na Baraka Daprince kutoelewana . Sababu ni utovu wa nidhamu ulioonyeshwa na Baraka Daprince katika ushirikiano wao au chama chao kama wanamuziki , na kutokana na tabia isiofaa ilioonyeshwa na Baraka Daprince ilipelekea BenPol pamoja na Jux kumtenga Baraka Daprince katika chama au ushirikiano huo walio uanzisha. Lakini isitoshe sio katika ushirikiano wao tu bali hata kufanya kazi pamoja imeonekana Baraka Daprince hayupo tayari , kwani kuna baadhi ya vitu au project zao mpya Baraka Daprince hataki kusambaza na kuzitangaza katika mitandao ya kijamii au vyombo vya habari hata akipewa na BenPol pamoja na Juma Jux . Ni maneno yalio zungumzwa na Mkali wa moyo mashine na si mwingine ni BenPol. Kwa matukio ya picha zaidi nimekusogezea hapahapa
Job Opportunity At Uganda Airlines- Security Manager
-
*About US:*
Uganda Airlines is the National Carrier of the Republic of Uganda based at
Entebbe International Airport. It is headquartered in Entebbe, Waki...
No comments:
Post a Comment