ZAMARADI MKETEMA AJIFUNGUA MTOTO WA KIUME. - Erick Picson Media

Erick Picson Media

Mkali wa Matukio na Habari za Burudani

Breaking

Saturday 9 June 2018

ZAMARADI MKETEMA AJIFUNGUA MTOTO WA KIUME.

 MTANGAZAJI maarufu wa televisheni, Zamaradi Mketema,  ambaye pia ni mdau mkubwa katika tasnia ya Bongo Movie,  ametangaza habari njema  usiku kuamkia leo baada ya kujifungua mtoto jana.
Huyo ni mtoto wa tatu kwa Zamaradi lakini wa kwanza kwa mumewe wa sasa aitwaye Shabani.
Ujumbe aliotoa kwenye ukurasa wake wa Instagram ni ufuatao:
Asante MUNGU kwa zawadi hii

No comments:

Post a Comment