NICK MINAJ AWA MTAMU AJA KIVINGINE NI SHIDA! - Erick Picson Media

Erick Picson Media

Mkali wa Matukio na Habari za Burudani

Breaking

Saturday 5 May 2018

NICK MINAJ AWA MTAMU AJA KIVINGINE NI SHIDA!

 Baada ya kupita miezi minne bila kutoa ngoma yoyote, Nicki Minaj amekuja kwa hasira kwa kuachia video mbili kwa mpigo.
Rapper huyo ameachia video ya wimbo wake ‘Chun-Li’ na ‘Barbie Tingz’. Wimbo wake wa mwisho ulikuwa ni Motorsport ambao aliimba na Migos pamoja na Cardi B.
Mpaka sasa video ya Chun-Li imeshatazamwa zaidi ya mara milioni tano kwenye mtandao wa YouTube, wakati ‘Barbie Tingz’ ikiwa imetazamwa zaidi ya mara milioni tatu. Tazama hapa chini video zote mbili.
Chun-Li

Barbie Tingz



No comments:

Post a Comment