Album ya "A boy from Tandale" rasmi itatoka siku hii.. - Erick Picson Media

Erick Picson Media

Mkali wa Matukio na Habari za Burudani

Breaking

Thursday 15 February 2018

Album ya "A boy from Tandale" rasmi itatoka siku hii..

October 11,2017 kupitia instagram account ya Diamond Platnumz aligusia kuhusu ujio wa album yake ya “A boy from Tandale” na hakuweka wazi tarehe rasmi ambapo itakuwa ikiuzwa mtaani.

Leo February 15,2018 kupitia ukurasa wa instagram wa Diamond Platnumz ameandika kuwa zimebaki siku 29 kabla ya Album ya “A boy from Tandale” itangazwe rasmi ambapo itakuwa March 16,2018.

Diamond Platnumz ameandika “siku 29 kabla ya a boy from Tandale kutangazwa najua wote hamko tayari kuona nilichofanya ndani ya album hiyo”

Kwa wale mashabiki wa Diamond Platnumz hii ni taarifa nzuri kutoka kwake kwamba Album ya “A boy from Tandale” itakuwa rasmi mtaani March 16,2018.

No comments:

Post a Comment