Sasa rasmi Tshishimbi kuikosa Mtibwa Sugar mechi ijayo. - Erick Picson Media

Erick Picson Media

Mkali wa Matukio na Habari za Burudani

Breaking

Saturday 23 September 2017

Sasa rasmi Tshishimbi kuikosa Mtibwa Sugar mechi ijayo.

Kiungo Papy Tshishimbi ataukosa mchezo ujao wakati Yanga itakapoivaa Mtibwa Sugar.

Yanga itaivaa Mtibwa Sugar katika mechi ya Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Jumamosi ijayo.

Ataukosa mchezo huo baada ya kulambwa kadi ya njano ambayo inakuwa ya tatu katika mechi nne.

Hii inamfanya Mkongo huyo kurejea jukwaani wakati Yanga ikipambana.

No comments:

Post a Comment