NICKI MINAJI AANZA KUISIFIA ALBUM YAKE MPYA. THE ALBUM IS SO F**KING GOOD. - Erick Picson Media

Erick Picson Media

Mkali wa Matukio na Habari za Burudani

Breaking

Tuesday 12 September 2017

NICKI MINAJI AANZA KUISIFIA ALBUM YAKE MPYA. THE ALBUM IS SO F**KING GOOD.

Kuelekea kutoka kwa album yake mpya yenye colabo za mastaa wakali wa Rapa, Msanii wa Young Money Nicki Minaj amesema haya maneno kuhusu album yake mpya “The album is so F**king GOOD!”
akimaanisha >Album yangu ni Nzuri Sana.

Hii itakuwa album ya kwanza ya Nicki Minaj toka mwaka 2014 alipotoa, The Pinkprint na Album yake ya Nne kama solo artist,

#erickpicson MEDIA.

No comments:

Post a Comment