MASHABIKI WA WEMA WAMEFANYA KUFURU BIRTHDAY YA WEMA. - Erick Picson Media

Erick Picson Media

Mkali wa Matukio na Habari za Burudani

Breaking

Thursday 28 September 2017

MASHABIKI WA WEMA WAMEFANYA KUFURU BIRTHDAY YA WEMA.

Ikiwa leo Septemba 28, 2017, mwigizaji mahiri bongo, Wema Isaac Sepetu almaarufu Keki ya Taifa, anasheherekea birthday yake, mashabiki wake wameungana kwa pamoja na kumfanyia
surprise akiwa saluni kwa kumpelekea keki na shampeni wakiwa na matarumbeta.

Kitendo hicho cha kushtukiza kilimfurahisha
Wema kiasi cha kujikuta akijichanganya nao na kuanza kukata nyonga za kufa mtu.

Wema amezaliwa Septemba 28, 1987 na leo ametimiza rasmi miaka 29.

No comments:

Post a Comment