DEREVA WA MBUNGE JOHN HECHE AVAMIWA AKATWA MAPANGA. - Erick Picson Media

Erick Picson Media

Mkali wa Matukio na Habari za Burudani

Breaking

Friday 15 September 2017

DEREVA WA MBUNGE JOHN HECHE AVAMIWA AKATWA MAPANGA.

                 TAARIFA KWA UMMA
Jana majira ya saa mbili usiku dereva wa mbunge Mh. John Heche anayejulikana kwa jina la SUEZ DANIEL MARADUFU alivamiwa na watu wasiojulikana na kushambuliwa kwa kukatwa katwa na mapanga kichwani na hali yake si nzuri, anaendelea na matibabu kwenye Hospitali ya Bomani Tarime.
Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Tarime Vijijini
15/9/2019.


No comments:

Post a Comment