WEMA SEPETU AZUA GUMZO BAADA YA KUANIKA MSAMBWANDA WAKE HADHARANI. - Erick Picson Media

Erick Picson Media

Mkali wa Matukio na Habari za Burudani

Breaking

Sunday 25 March 2018

WEMA SEPETU AZUA GUMZO BAADA YA KUANIKA MSAMBWANDA WAKE HADHARANI.

MSANII wa Bongo Movies, Wema Sepetu amezua gumzo baada ya kuachia msambwanda wake LIVE wakati akiogelea pamoja na kaka yake Diamond Platnumz, Rommy Jones.

 Katika kipande cha video kinachosambaa kwa kasi mitandaoni kinamuonesha Wema akikata mauno wakati wimbo wa Zaiidi wa Wowowo ukipigwa wimbo ambao unaonyesha kumfuyrahisha mlimbwende huyo na kuamua wowowo lake hadharani.

No comments:

Post a Comment