Breaking:kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza amefunguka idadi ya watu walio kufa ziwa victoria mpaka sasa. - Erick Picson Media

Erick Picson Media

Mkali wa Matukio na Habari za Burudani

Breaking

Monday 9 October 2017

Breaking:kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza amefunguka idadi ya watu walio kufa ziwa victoria mpaka sasa.

Idadi ya watu waliokufa baada ya Toyota Hiace kuzama Ziwa Victoria imeongezeka na kufikia 12.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Ahmed Msangi amezungumza  Jumatatu leo amesema katika ajali hiyo watu watatu wameokolewa wakiwa hai.

Msangi amesema walionusurika wameokolewa na wananchi ambao ni wataalamu wa kuogelea.

NA:ERICK PICSON.

No comments:

Post a Comment