YANGA YAZIDI KUJIWEKA FITI KUIKABILI MTIBWA SUGAR LIGI KUU - Erick Picson Media

Erick Picson Media

Mkali wa Matukio na Habari za Burudani

Breaking

Tuesday 26 September 2017

YANGA YAZIDI KUJIWEKA FITI KUIKABILI MTIBWA SUGAR LIGI KUU

Mabingwa wa soka Tanzania, Yanga wameendelea kujiweka sawa kwa ajili mechi ijayo dhidi ya Mtibwa Sugar.

Yanga walipumzika leo asubuhi na jioni wakarejea tena mazoezini leo jioni ikiwa ni kuhakikisha wanajiweka sawa kabla ya mechi hiyo ya Jumamosi.

Mazoezi ya Yanga yamefanyika chini ya Kocha George Lwandamina kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar.

KIkosi cha Yanga kimecheza mechi nne na kushinda mbili, sare mbili. Hivyo kimejikusanyia pointi nane sawa na watani wao Simba.

No comments:

Post a Comment