SUGU AKIHITAJI MTOTO MWINGINE NAMZALIA- FAIZA. - Erick Picson Media

Erick Picson Media

Mkali wa Matukio na Habari za Burudani

Breaking

Thursday 7 September 2017

SUGU AKIHITAJI MTOTO MWINGINE NAMZALIA- FAIZA.

MREMBO Faiza Ally ambaye aliwahi ‘kubanjuka’ penzini na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, ametoa kali ya aina yake kwa kusema, yupo tayari kumzalia mbunge huyo ambaye walishaachana miaka kibao iliyopita.
Kabla ya kumwagana na Sugu, mrembo huyo alifanikiwa kuzaa na mbunge huyo mtoto mmoja kisha kila mmoja akashika maisha yake.
Sugu kwa sasa ana maisha mengine na mchumba wake. Faiza naye alichukua hamsini zake na kufanikiwa kupata mtoto wa pili anayedai kuzalishwa na Raia wa Marekani.

No comments:

Post a Comment