ALIYE ZAA NA CASTO" TUNDA HANA LOLOTE CASTO NI MCHAFU SIMPENDI" - Erick Picson Media

Erick Picson Media

Mkali wa Matukio na Habari za Burudani

Breaking

Sunday 1 April 2018

ALIYE ZAA NA CASTO" TUNDA HANA LOLOTE CASTO NI MCHAFU SIMPENDI"

Kufuatia 'Couple' mpya inayotikisa jiji kwa sasa ya mtangazaji wa Clouds, Casto Dickson na Video queen, Tunda, mwanamke mmoja ambaye ni mzazi mwenza wa mtangazaji huyo anayefahamika kwa jina la Don Posh, ameibuka na kuweka bayana kuwa wawili hao hawawezi kuwa na uhusiano kamwe ila ni kiki tu.

Posh amesema kuwa bado anampenda mzazi mwenziye huyo, na kusema kuwa hakuna mwanamke atakayetokea kupendwa na Casto kama yeye kwani alichompatia hawezi kupatiwa na mwanamke mwingine yeyote.

Posh ameongeza kuwa Casto ni mlevi sana, na kuwa hapendi vile ambavyo Casto anashikana shikana na Tunda na kuachia video zao mitandaoni, huku akichanganya maelezo yake baada ya kusema pia kuwa hampendi tena kutokana na uchafu wake wa kutembea na wanawake hovyo hadi mahausigeli.

No comments:

Post a Comment