Wabongo ni noma tazama ujumbe walio mtumia Zari baada ya kumtema Diamond... - Erick Picson Media

Erick Picson Media

Mkali wa Matukio na Habari za Burudani

Breaking

Thursday 15 February 2018

Wabongo ni noma tazama ujumbe walio mtumia Zari baada ya kumtema Diamond...

Baada ya Zari kutangaza rasmi kuwa kwa sasa hayupo tena kwenye mahusiano na mzazi mwenzie, Diamond Platnumz imeonekana hatua hiyo kupokelewa kwa mtazamo chanya na baadhi ya mashabiki wa Diamond Platnumz hususani wanawake.

Watu wengi ambao walikuwa wanawafuatilia wawili hao wameonekana wakitoa maoni ya kumpongeza kwa maamuzi aliyoyachukua ya kumuacha Diamond Platnumz.

Baadhi ya maoni ambayo yametolewa kwenye posti ya Zari kwenye mtandao wa Instagram, yamempongeza Zari kwa kumwambia kuwa yeye ni mwanamke jasiri na anayejitambua.

iam_golden_heartIt’s awise decision darling though it’s not easy. I salute you mum Tee
queen_godlistenAsante @zarithebossladyu have to be Your self cause hakuna namna ma dear and I appreciate Ur Opinions always
hamisi_wa_instarHongera sana @zarithebosslady umefanya maamuzi sahihi kabisa
selestina.makwega84😪😪😪Maamuzi magumu sana, MUNGU akutie nguvu.
karen.kamauyu r strong woman ever known.Love love love salute…
chivixhbMungu atakuongoza zaidi.mwache awe anavyotaka yy.
evelynnyamigishaI love your confidence and the fact that you don’t compromise with any piece of nonsense.. Go on boss lady, this life is too short to waste time on people who don’t know what they want @zarithebosslady
minacollection_znzNice strong women my dear wowow 😍❤️ww nimwanamke unaye jiamini kila siku hivo ndo anavo takiwa mwanamke @zarithebosslady
Hata hivyo sio mashabiki wote wamempongeza Zari wapo baadhi yao wamemkosoa kwa maamuzi hayo kwa kumwambia kuwa amekurupuka na amefanya maamuzi kwa hasira.

Jana Februari 14, 2018 usiku Zari kupitia ukurasa wake wa Instagram alitangaza kuwa hayupo tena kwenye mahusiano na msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz ambaye amezaa naye watoto wawili. 

No comments:

Post a Comment