Breaking newz:watu 17 waokolewa baada ya kuzama na boti ziwa victoria - Erick Picson Media

Erick Picson Media

Mkali wa Matukio na Habari za Burudani

Breaking

Thursday 16 November 2017

Breaking newz:watu 17 waokolewa baada ya kuzama na boti ziwa victoria

Watu 17 wameokolewa baada ya boti ya MV Julius kuzama katika ziwa Victoria.Jeshi la Polisi linaendelea kufuatilia kubaini kama kuna waliosahaulika majini.

Hizi ni taarifa za awali fuatilia Habari zetu kufahamu zaidi

No comments:

Post a Comment