KAJALA AFUNGUKA KUHUSU MAHUSIANO YA KIMAPENZI NA CHEGE. - Erick Picson Media

Erick Picson Media

Mkali wa Matukio na Habari za Burudani

Breaking

Thursday 29 March 2018

KAJALA AFUNGUKA KUHUSU MAHUSIANO YA KIMAPENZI NA CHEGE.

Msanii wa Filamu nchini kajala Masanja amefunguka na kuweka wazi kuhusu tetesi zinazo sambaa kuwa kwa sasa anatoka kimapenzi na msanii wa Bongo Fleva kutokea kiumeni Chege Chigunda.

Kajala amezungumza na  kukana kuhusu kutoka kimapenzi na msanii huyo na kudai kuwa hakuna jambo kama hilo na 
"Mama yangu mzazi hakuna kitu kama hicho si mmeona Chege kapata mtoto juzi tu hapa, yaani mimi sina hata namba yake ya simu na haiwezi kutokea kitu kama hicho"alisisitiza Kajala 
Mbali na hilo Kajala amewatakia kheri wanawake wote maarufu ambao wanakaribia kuolewa siku za karibuni na kusema kwake yeye badobado kwani anaamini mume mwema anatoka kwa Mungu hivyo atakapompata huenda na yeye ndiyo akafanya maamuzi hayo ya kuolewa sasa. 

No comments:

Post a Comment