BREAKING: MASHARTI YA MAHAKAMA KATIKA DHAMANA YA KESI YA MBOWE NA WENZAKE. - Erick Picson Media

Erick Picson Media

Mkali wa Matukio na Habari za Burudani

Breaking

Thursday 29 March 2018

BREAKING: MASHARTI YA MAHAKAMA KATIKA DHAMANA YA KESI YA MBOWE NA WENZAKE.

Mahakama ya Kisutu imetoa masharti ya dhamana kwa viongozi 6 wa CHADEMA akiwemo Freeman Mbowe, wawe na wadhamini wawili watakao saini Bondi ya sh.Mil 20.

Baada ya kutimizwa masharti hayo Mbowe na wenzake wawe wanariport central Police kila Alhamisi .

No comments:

Post a Comment