Breaking news:Mke wa kingunge afariki dunia - Erick Picson Media

Erick Picson Media

Mkali wa Matukio na Habari za Burudani

Breaking

Thursday 4 January 2018

Breaking news:Mke wa kingunge afariki dunia

Mke wamwanasiasa mkongwenchini, Kingunge NgombaleMwiru, Peras Kingunge amefariki dunia leoAlhamisi katikaHospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Mtotowa Kingunge, Kinje Ngombale amethibitisha taarifahizonakwamba kifochamama yake kimetokeawakati baba yake pia ni mgonjwa.

"Ni kwelimamaamefariki nababa amelala kwasababu ndiokwanza ametoka chumba cha upasuaji aling'atwa nambwa.

 Tutamwambia akiamka," amesema

No comments:

Post a Comment