Intro.
Wiki chache zilizopita mwanamuziki AT alitoa nyimbo yake mpya inayo julikana kama melod iliyokuwa ikiongelea ishu ya DiamondPlatinum na Alikiba kama kuna bifu fulani hivi na ikaoneka AT ni shabiki mkubwa sana wa Alikiba.
Swali likaja je Diamond akitaka kumsajili AT katika umoja wa WCB atafanyaje story nzima imekaa hivi;
AT amezungumza katika moja ya media kubwa Tanzania kwamba yeye ikitokea nafasi kama hiyo kwake ni jambo la muhimu na hawezi kugoma kufanya kazi WCB kwani atakuwa katika management
ambayo ina misingi yake ya ufanyaji wa kazi na pia yeye ataweka misingi yake kama itakubaliwa basi yupo tayari kufanya kazi.
Licha ya hilo hata akiwa katika umoja huo bado atabaki kuwa mshabiki wa Alikiba kwani bifu haiwezi kumfanya mtu ashindwe kufanya kazi.
Patamu hapo kwa story kama hizi zaidi endelea kutembelea katika mitandao yangu ya kijamii @erickpicson Instagram,Facebook pamoja na twitter.
Job Opportunity At Uganda Airlines- Security Manager
-
*About US:*
Uganda Airlines is the National Carrier of the Republic of Uganda based at
Entebbe International Airport. It is headquartered in Entebbe, Waki...
No comments:
Post a Comment