Jamani naanza kuona nandy akiweka Akili chini na kuanza kutumia matope.
Huyu dada kafanya interview kwenye The playlist ya Times Fm na amesema eti akitaja wasanii watano matajiri Tanzania basi Aslay ni wa tatu na yeye ni wa nne
Kweli Nandy na Aslay wana hela kuliko wasanii hawa
Diamond
Alikiba
Prof JAY
AY
LADY JAYDEE
HARMONIZE
RAYVAN
MWANA FA
RICH MAVOKO
Nandy tuombe radhi au tukuombee labda umeanza kudata
Job Opportunity At Uganda Airlines- Security Manager
-
*About US:*
Uganda Airlines is the National Carrier of the Republic of Uganda based at
Entebbe International Airport. It is headquartered in Entebbe, Waki...
No comments:
Post a Comment