MAN UNITED YAWAPIGA LA GALAXY 5-2 NYUMBANI KWAO. - Erick Picson Media

Erick Picson Media

Mkali wa Matukio na Habari za Burudani

Breaking

Sunday 16 July 2017

MAN UNITED YAWAPIGA LA GALAXY 5-2 NYUMBANI KWAO.

Kikosi cha Manchester United ya Uingereza ikiongozwa na kocha wake Jose Mourinho kimecheza mechi ya kwanza ya kirafiki bila kabla ya kuanza msimu wa Ligi Kuu ya England 2017/8 dhidi ya LA Galaxy ya Marekani, mechi iliyochezwa katika Uwanja wa StubHub Center wenye uwezo wa kuchukua mashabiki  25,000 ambapo Romelu Lukaku alicheza mechi yake ya kwanza na kufunga bao katika mchezo ulioisha kwa Man United kushinda kwa mabao 5 -2.
Kwa upande wa Manchester waliofunga ni Rushford, Romelu Lukaku, Ferraine na Mkhitaryan.
Kwa matukio ya picha zaidi zipo karibu yako.

No comments:

Post a Comment